Sunday, 21 September, 2025г.
russian english deutsch french spanish portuguese czech greek georgian chinese japanese korean indonesian turkish thai uzbek

пример: покупка автомобиля в Запорожье

 

Wezi 2 Wauwawa Washambulia Wakaazi Katika Mtaa Wa Kimathi

Wezi 2 Wauwawa Washambulia Wakaazi Katika Mtaa Wa KimathiУ вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Washukiwa wawili wa ujambazi waliuliwa alfajiri ya leo katika mtaa wa Kimathi hapa jijini nairobi. washukiwa hao walipigwa risasi na polisi waliofika mtaani humo baada ya kupata simu kutoka kwa mkaazi mmoja aliyeshuhudia wizi ukitekelezwa. hata hivyo inadaiwa kwamba wezi wengine waliweza kutoweka
Мой аккаунт