У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Kinara wa upinzani Raila Odinga hii leo ametangaza kwamba mkutano wa BBI ulionuiwa kufanyika katika uwanja wa Tononoka sasa utafanyika katika bustani ya Mama Ngina Water Front.
Tayari hali ya sintofahamu imeanza kushuhudiwa jijini Mombasa baada ya viongozi wandani wa naibu wa rais William Ruto kutishiwa kwamba hawatupewa fursa ya kuzungumza hapo kesho .