Friday, 19 September, 2025г.
russian english deutsch french spanish portuguese czech greek georgian chinese japanese korean indonesian turkish thai uzbek

пример: покупка автомобиля в Запорожье

 

“Singida walimpa nafasi Tundu Lissu, sasa hawana mtetezi” – Martha Mlata

“Singida walimpa nafasi Tundu Lissu, sasa hawana mtetezi” – Martha MlataУ вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Mbunge wa Viti Maalum Singida Martha Mrata ni miongoni mwa Wabunge waliopata nafasi ya kuwasilisha Bungeni mapendekezo katika makadirio ya bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/18 leo June 14, 2017 ambapo alilieleza pia Bunge changamoto zinazowakabili Wapiga Kura wa Jimbo la Singida Mashariki linaloongozwa na Mbunge wa CHADEMA Tundu Lissu…
Мой аккаунт