У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
April 12, 2017 mkutano wa saba wa bunge, kikao cha sita umeendelea ambapo katika kipindi cha maswali na majibu kati ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama na kuhoji Serikali ni pamoja na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye aliyetaka kujua mpango wa Serikali kuanzisha viwanda vidogovidogo vya kukamua mafuta ya ufuta katika mkoa wa Lindi