У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Shirika la Royal Media limeghadhabishwa na hatua ya polisi ya kutoa tangazo hapo jana kuwa gari aina ya deemax linalolimilikiwa na kampuni hii lilikuwa limebeba vilipuzi. Royal Media imeshindwa kujua sababu ya polisi kufanya hivyo na kuisambaza nambari ya usajili ya gari hilo..