Rais Magufuli alivyokata tiketi na kupanda Pantoni leo
У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Rais Magufuli leo alitembelea Feri ambapo moja ya kitu amefanya baada ya kufika eneo hilo ni kujichanganya na Wananchi kukata tiketi kisha akapanda Panton kwenda na kurudi Kigamboni.