У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Vikosi vya uokoaji vilivyohusika na zoezi la kukinasua kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kimenasa baada ya kupinduka na kuua watu 230 wamefanikiwa kukitoa kivuko hicho hadi nchi kavu tayari kwa hatua nyingine zitakazoelekezwa na Serikali.