Tuesday, 23 September, 2025г.
russian english deutsch french spanish portuguese czech greek georgian chinese japanese korean indonesian turkish thai uzbek

пример: покупка автомобиля в Запорожье

 

DODOMA: ZITTO KABWE APEWA ONYO BUNGENI LEO

DODOMA: ZITTO KABWE APEWA ONYO BUNGENI LEOУ вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Baada ya serikali ya Tanzania kujitoa katika mpango wa kimataifa wa kuendesha Shughuli za Serikali kwa uwazi (OGP) leo November 13, 2017 Waziri wa nchi, ofisi ya Rais (menejimenti ya utumishi Umma na utawala bora) George Mkuchika ametoa onyo kwa Mbunge wa Kigoma mjini. Ametoa onyo kwa Zitto Kabwe pamoja na baraza lake la madiwani kuacha mara moja kuendelea kuwasiliana na Washirika wa OGP na endapo wataendelea Serikali itatoa adhabu kali ikiwemo kuvunja baraza lote la madiwani.
Мой аккаунт