У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
#Diamondplatnumz na #Wemasepetu kuna kipi kinachoendelea mbona kama hatuelewi hivi kuna ugomvi upi ambao unaendelea na hatuelewi sababu ule urafiki uliokuwepo hadi wema kuwa anatimba kwenye office za #Wasafi hatuuoni. yani hata kwenye mambo ya Birthday hatuoni tena. kisa ni kipi? tupiabcomment yako hapo chini