Sunday, 14 September, 2025г.
russian english deutsch french spanish portuguese czech greek georgian chinese japanese korean indonesian turkish thai uzbek

пример: покупка автомобиля в Запорожье

 

Viongozi mbalimbali kote duniani watoa rambirambi kwa Ufaransa kutokana na shambulio ya kigaidi

Viongozi mbalimbali kote duniani watoa rambirambi kwa Ufaransa kutokana na shambulio ya kigaidiУ вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Viongozi wa nchi mbalimbali kote duniani wanazidi kutoa risala za rambirambi kwa Ufaransa kutokana na matukio ya kigaidi yaliyowaua zaidi ya watu 120. Kundi la wapiganaji la Islamic State limesema kuwa lilihusika katika mashambulizi hayo yaliyowaacha zaidi ya watu mia mbili wakiwa wamejeruhiwa. Watch KTN Live http://www.ktnkenya.tv/live Watch KTN News http://www.ktnnews.com Follow us on http://www.twitter.com/ktnkenya Like us on http://www.facebook.com/ktnkenya
Мой аккаунт