У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Siku kuu ya mashujaa itafanyika katika bustani ya mama ngina iliyokarabatiwa kwa takriban shilingi milioni 460. Kama anavyoarifu kadzo gunga, kwa mara ya kwanza katika historia ya kenya, wanajeshi wa wanamaji wataongoza gwaride la heshima.