У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
April 13 2017 washindi wa shindano la Talii na TTB lililokuwa limeandaliwa na bodi ya utalii Tanzania kwa kushirikiana na Clouds Media, wamesafiri leo kuelekea katika hifadhi ya Ngorongoro kutalii kama ambavyo washindi walikuwa wameahidiwa awali.