У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Ni Meli ya MV Julius iliyozama ndani ya Ziwa Victoria usiku wa kuamkia leo wakati ikitokea kisiwa cha Goziba kuelea Jijini Mwanza ambapo taarifa za mwanzo zinasema watu 17, Mmiliki wa meli ya mv. Juilius ameongea.